1 Kor. 2:14 Swahili Union Version (SUV)

Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.

1 Kor. 2

1 Kor. 2:5-16