1 Kor. 2:13 Swahili Union Version (SUV)

Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.

1 Kor. 2

1 Kor. 2:5-16