1 Kor. 13:12 Swahili Union Version (SUV)

Maana wakati wa sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule tutaona uso kwa uso; wakati wa sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa sana.

1 Kor. 13

1 Kor. 13:2-13