1 Kor. 13:11 Swahili Union Version (SUV)

Nilipokuwa mtoto mchanga, nalisema kama mtoto mchanga, nalifahamu kama mtoto mchanga, nalifikiri kama mtoto mchanga; tokea hapo nilipokuwa mtu mzima, nimeyabatilisha mambo ya kitoto.

1 Kor. 13

1 Kor. 13:3-13