1 Fal. 9:8 Swahili Union Version (SUV)

Na ijapokuwa nyumba hii imetukuka namna hii, lakini kila apitaye atasituka na kuizomea; nao watasema, Kwa nini BWANA ameitenda nchi hii na nyumba hii mambo haya?

1 Fal. 9

1 Fal. 9:2-12