1 Fal. 9:16 Swahili Union Version (SUV)

Farao, mfalme wa Misri, alikuwa amepanda akautwaa Gezeri, na kuuteketeza kwa moto, akawaua Wakanaani waliokaa mjini, akampa zawadi binti yake, mkewe Sulemani.

1 Fal. 9

1 Fal. 9:15-23