1 Fal. 9:15 Swahili Union Version (SUV)

Na hii ndiyo sababu ya shokoa aliyoitoza mfalme Sulemani; ili kuijenga nyumba ya BWANA, na nyumba yake mwenyewe, na Milo, na ukuta wa Yerusalemu, na Hazori, na Megido, na Gezeri.

1 Fal. 9

1 Fal. 9:14-16