1 Fal. 7:48 Swahili Union Version (SUV)

Sulemani akavifanya vyombo vyote vilivyokuwamo nyumbani mwa BWANA; madhabahu ya dhahabu, na ile meza iliyokuwa na mikate ya wonyesho juu yake ilikuwa ya dhahabu;

1 Fal. 7

1 Fal. 7:38-51