1 Fal. 20:13 Swahili Union Version (SUV)

Na tazama, nabii akamjia Ahabu mfalme wa Israeli, akasema, BWANA asema hivi, Je! Umeona makutano haya yote walio wengi? Angalia, nitawatia leo mkononi mwako; nawe utajua ya kuwa ndimi BWANA.

1 Fal. 20

1 Fal. 20:6-16