1 Fal. 20:1 Swahili Union Version (SUV)

Basi, Ben-hadadi mfalme wa Shamu akakusanya jeshi lake lote; nao walikuwapo wafalme thelathini na wawili pamoja naye, na farasi, na magari: akakwea akauhusuru Samaria, akaupiga vita.

1 Fal. 20

1 Fal. 20:1-3