1 Fal. 19:21 Swahili Union Version (SUV)

Akarudi akiacha kumfuata, akatwaa lile jozi la ng’ombe, akawachinja, akatokosa nyama zao kwa ile miti ya ng’ombe, akawapa watu, wakala. Kisha akainuka, akamfuata Eliya, akamhudumia.

1 Fal. 19

1 Fal. 19:14-21