1 Fal. 2:24 Swahili Union Version (SUV)

Basi kwa hiyo, BWANA aishivyo, aliyenithibitisha na kunikalisha katika kiti cha enzi cha Daudi baba yangu, akanifanyia nyumba, kama alivyoahidi, hakika atauawa leo hivi Adonia.

1 Fal. 2

1 Fal. 2:16-29