1 Fal. 2:23 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo mfalme Sulemani akaapa kwa BWANA, akasema, Mungu anifanyie hivyo, na kuzidi, isipokuwa Adonia amenena neno hili juu ya uhai wake mwenyewe.

1 Fal. 2

1 Fal. 2:13-25