1 Fal. 18:5 Swahili Union Version (SUV)

Ahabu akamwambia Obadia, Pita katika nchi, kwenye chemchemi zote za maji, na vijito vyote; labda tutapata majani, tuwahifadhi hai farasi na nyumbu, tusipate hasara ya hao wanyama wote.

1 Fal. 18

1 Fal. 18:1-11