1 Fal. 18:4 Swahili Union Version (SUV)

kwa kuwa ikawa, Yezebeli alipowaua manabii wa BWANA, Obadia akatwaa manabii mia, akawaficha hamsini hamsini katika pango, akawalisha chakula na kuwapa maji).

1 Fal. 18

1 Fal. 18:1-7