1 Fal. 18:13 Swahili Union Version (SUV)

Je! Bwana wangu hakuambiwa nilivyofanya hapo Yezebeli alipowaua manabii wa BWANA? Jinsi nilivyowaficha manabii wa BWANA, watu mia, hamsini hamsini katika pango, nikawalisha chakula na kuwapa maji?

1 Fal. 18

1 Fal. 18:7-16