1 Fal. 18:12 Swahili Union Version (SUV)

Na itakuwa, mara mimi nikiondoka kwako, roho ya BWANA atakuchukua uende nisikojua; nami nitakapokwenda kumwambia Ahabu, naye asipokuona, ataniua, lakini mimi mtumishi wako namcha BWANA tangu ujana wangu.

1 Fal. 18

1 Fal. 18:2-17