1 Fal. 16:19 Swahili Union Version (SUV)

kwa sababu ya makosa aliyoyakosa, akifanya mabaya machoni pa BWANA, kwa kuiendea njia ya Yeroboamu na makosa yake aliyoyafanya akiwakosesha Israeli.

1 Fal. 16

1 Fal. 16:10-23