1 Fal. 16:18 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa Zimri alipoona ya kuwa mji umetwaliwa, akaingia ngomeni mwa nyumba ya mfalme, akaiteketeza nyumba ya mfalme juu yake kwa moto, akafa;

1 Fal. 16

1 Fal. 16:12-21