1 Fal. 14:5 Swahili Union Version (SUV)

BWANA akamwambia Ahiya, Angalia, mkewe Yeroboamu anakuja akuulize mambo ya mwanawe; kwa maana hawezi; hivi na hivi umwambie; kwani itakuwa akiingia atajifanya kuwa mwanamke mwingine.

1 Fal. 14

1 Fal. 14:4-13