1 Fal. 14:4 Swahili Union Version (SUV)

Akafanya hivi mkewe Yeroboamu, akaondoka, akaenda Shilo, akaja nyumbani kwa Ahiya. Basi Ahiya hakuweza kuona; kwa kuwa macho yake yamepofuka kwa sababu ya uzee wake.

1 Fal. 14

1 Fal. 14:1-6