1 Fal. 12:7 Swahili Union Version (SUV)

Wakamwambia wakasema, Ukikubali kuwa mtumishi wa watu hawa leo, na kuwatumikia, na kuwajibu, na kuwapa maneno mazuri, basi watakuwa watumishi wako daima.

1 Fal. 12

1 Fal. 12:1-10