1 Fal. 11:21 Swahili Union Version (SUV)

Naye Hadadi aliposikia huko Misri ya kuwa Daudi amelala na babaze, na Yoabu, jemadari wa jeshi, amekufa, Hadadi akamwambia Farao, Unipe ruhusa, niende mpaka nchi yangu.

1 Fal. 11

1 Fal. 11:14-26