1 Fal. 11:20 Swahili Union Version (SUV)

Naye huyo umbu la Tapenesi akamzalia Genubathi mwanawe, ambaye Tapenesi alimlea nyumbani mwa Farao; naye Genubathi akawako nyumbani mwa Farao pamoja na wana wa Farao.

1 Fal. 11

1 Fal. 11:18-23