1 Fal. 1:45 Swahili Union Version (SUV)

Kisha Sadoki, kuhani, na Nathani, nabii, wakamtia mafuta huko Gihoni, ili awe mfalme. Nao wamepanda juu kutoka huko wakifurahi, hata mji ukavuma. Ndizo kelele zile mlizozisikia.

1 Fal. 1

1 Fal. 1:35-53