1 Fal. 1:44 Swahili Union Version (SUV)

Tena mfalme alipeleka pamoja naye Sadoki, kuhani, na Nathani, nabii, na Benaya, mwana wa Yehoyada, na Wakerethi, na Wapelethi, wakampandisha juu ya nyumbu wa mfalme.

1 Fal. 1

1 Fal. 1:34-53