Yoshua 6:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yoshua akawaamuru watu, “Msipige kelele au kutoa sauti, wala neno lolote lisitoke vinywani mwenu, mpaka siku ile ambapo nitawaambieni mpige kelele; wakati huo ndipo mtakapopiga kelele.”

Yoshua 6

Yoshua 6:8-14