Yoshua 17:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Eneo la kabila la Manase lilianzia Asheri na kwenda hadi Mikmethathi mashariki ya Shekemu; halafu mpaka wao ukaendelea kusini hadi kwenye nchi ya wakazi wa En-tapua.

Yoshua 17

Yoshua 17:5-17