Yoshua 17:6 Biblia Habari Njema (BHN)

kwa sababu binti za Manase waligawiwa sehemu zao kama walivyogawiwa wanaume wa kabila lao. (Nchi ya Gileadi walipewa wazawa wengine wa Manase).

Yoshua 17

Yoshua 17:5-7