Yeremia 52:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Nebukadneza wa Babuloni aliwapiga na kuwaua watu hao huko Ribla katika nchi ya Hamathi.Basi, watu wa Yuda walikwenda uhamishoni nje ya nchi yao.

Yeremia 52

Yeremia 52:26-32