Yeremia 43:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Atakapofika ataiangamiza nchi ya Misri. Hapo waliopangiwa kufa kwa maradhi watakufa kwa maradhi, waliopangiwa kuchukuliwa mateka, watachukuliwa mateka; waliopangiwa kufia vitani watafia vitani.

Yeremia 43

Yeremia 43:5-13