Yeremia 26:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo makuhani na manabii wakawaambia wakuu na watu wote: “Mtu huyu anastahili hukumu ya kifo kwa maana amehubiri dhidi ya mji huu, kama nyinyi wenyewe mlivyosikia kwa masikio yenu.”

Yeremia 26

Yeremia 26:1-13