Yeremia 26:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wakuu wa Yuda waliposikia mambo hayo, walipanda kutoka katika nyumba ya mfalme, wakaenda katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu, wakaketi penye Lango Jipya.

Yeremia 26

Yeremia 26:6-18