Waamuzi 20:42 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo wakageuka, wakawakimbia Waisraeli kuelekea jangwani, lakini vita vikawakumba; wakajikuta wako katikati ya majeshi mawili ya Israeli, na askari waliotoka wakawaangamiza.

Waamuzi 20

Waamuzi 20:41-48