Waamuzi 20:41 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Waisraeli wakageuka, na watu wa kabila la Benyamini wakakumbwa na fadhaa kwani sasa waliona kuwa kuangamia kwao kulikuwa kumekaribia.

Waamuzi 20

Waamuzi 20:39-46