Waamuzi 19:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini huyo mtu alikataa kulala huko usiku huo. Basi, akainuka, akaondoka akafika karibu na mji wa Yebusi (yaani Yerusalemu). Alikuwa na wale punda wake wawili waliotandikwa tayari, pamoja na suria wake.

Waamuzi 19

Waamuzi 19:1-19