Ufunuo 19:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Njoni mkaitafune miili ya wafalme, ya majemadari, ya watu wenye nguvu, ya farasi na wapandafarasi wao; njoni mkaitafune miili ya watu wote: Walio huru na watumwa, wadogo na wakubwa.”

Ufunuo 19

Ufunuo 19:8-21