Ufunuo 19:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, nikamwona malaika mmoja amesimama katika jua. Akapaza sauti na kuwaambia ndege wote waliokuwa wanaruka juu angani, “Njoni! Kusanyikeni pamoja kwa karamu kuu ya Mungu.

Ufunuo 19

Ufunuo 19:8-21