Ufunuo 15:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Bwana, ni nani asiyekucha wewe?Nani asiyelitukuza jina lako?Wewe peke yako ni Mtakatifu.Mataifa yote yatakujia na kukuabudumaana matendo yako ya haki yamedhihirishwa.”

Ufunuo 15

Ufunuo 15:1-7