Ufunuo 11:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha hekalu la Mungu mbinguni likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana hekaluni mwake. Kukatokea umeme, sauti, ngurumo, tetemeko la ardhi, na mvua kubwa ya mawe.

Ufunuo 11

Ufunuo 11:12-19