Mwanzo 42:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Yosefu akatoa amri mifuko yao ijazwe nafaka, kila mmoja wao arudishiwe fedha yake katika gunia lake, na wapewe chakula cha njiani. Wakafanyiwa mambo hayo yote.

Mwanzo 42

Mwanzo 42:18-31