Mwanzo 42:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Yosefu akaenda kando, akaangua kilio. Alipotulia, akarudi kuzungumza nao. Kisha akamkamata Simeoni na kumtia pingu mbele ya macho yao.

Mwanzo 42

Mwanzo 42:19-32