Ezekieli 40:37 Biblia Habari Njema (BHN)

Ule ukumbi wa kuingilia ulikuwa mkabala na ua wa nje; kulikuwa na mitende imechorwa kwenye kuta za hiyo nafasi ya kupitia. Pia kulikuwa na ngazi nane za kupandia kuelekea kwenye lango hili.

Ezekieli 40

Ezekieli 40:27-38