Ezekieli 40:36 Biblia Habari Njema (BHN)

Huko nako kulikuwa na vyumba vya walinzi, kuta za ndani zilizopambwa, ukumbi wa kuingilia na madirisha pande zote. Urefu wake wote ulikuwa mita 25 na upana mita kumi na mbili u nusu.

Ezekieli 40

Ezekieli 40:32-44