Ezekieli 34:5-7 Biblia Habari Njema (BHN)

5. Basi, kwa kuwa hao kondoo hawakuwa na mchungaji walitawanywa, wakawa mawindo ya wanyama wakali.

6. Naam, kondoo wangu walitawanywa, wakatangatanga milimani na vilimani. Kondoo walisambazwa duniani kote, na hapakuwa na mtu aliyejali juu yao wala kuwatafuta.

7. “Basi, sikieni vizuri neno langu mimi Mwenyezi-Mungu, enyi wachungaji:

Ezekieli 34