Ezekieli 33:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, hukujia makundi kwa makundi na kuketi mbele yako kama watu wangu, wasikie unachosema, lakini hawafanyi unachowaambia wafanye. Wanasema kwamba wana upendo, lakini hayo ni maneno matupu; wanachotafuta kwa moyo ni faida yao tu.

Ezekieli 33

Ezekieli 33:22-32