Ezekieli 33:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu aliniambia, “Wewe mtu! Wananchi wenzako wanazungumza juu yako, wameketi kutani na milangoni mwa nyumba zao na kuambiana: ‘Haya! Twende tukasikie neno alilosema Mwenyezi-Mungu!’

Ezekieli 33

Ezekieli 33:22-33