Ezekieli 17:16 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mimi Mwenyezi-Mungu naapa kwamba, kama niishivyo, mfalme huyu atafia katika nchi ya Babuloni, nchi ya mfalme yule aliyemweka awe mfalme, na ambaye amedharau kile kiapo na kuvunja lile agano alilofanya naye.

Ezekieli 17

Ezekieli 17:12-24