Ezekieli 17:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini yule mfalme mpya alimwasi mfalme wa Babuloni kwa kuwatuma wajumbe Misri kuomba farasi na askari wengi. Je, mfalme huyo atafaulu? Je, anayefanya hivyo na kuvunja agano lake ataweza kuepa adhabu?

Ezekieli 17

Ezekieli 17:6-24