2 Wakorintho 12:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Nimekuwa kama mpumbavu, lakini nyinyi mmenilazimisha kuwa hivyo. Nyinyi ndio mngalipaswa kunisifu. Maana, ingawa mimi si kitu, kwa vyovyote, mimi si mdogo kuliko hao “mitume wakuu.”

2 Wakorintho 12

2 Wakorintho 12:3-21